
Taarifa zilizoenea chinichini kwa sasa ni kwamba kuna kitu kingine kipya kutoka kwa kampuni ya Azam ambayo ni maarufu kwa kutengeneza bidhaa za vyakula, usafirishaji abiria kwa njia ya boti na hata michezo pia kupitia Azam FC ambapo kampuni hii inadaiwa kukaribia kutambulisha king’amuzi ambacho kitakua na uwezo wa kuonyesha Tv channel mbalimbali zikiwemo za Tanzania pia. Taarifa hizo za chinichini zimezidi kuamplfy kwamba gharama yake ya malipo ya kila mwezi itakuwa ndogo zaidi ya ving’amuzi vyote kwa Tanzania na watumiaji kwa kila mwezi watatakiwa k
ulipia pesa za kitanzania Shilingi elfu mbili tu…… hata hivyo NYASI.COM. inazidi kufatilia kupata info zaidi
No comments:
Post a Comment