Mkali wa Ngololo 'Diamond Platnumz' ambaye anahusika kwenye matangazo ya
kampuni ya Cocacola ametupia picha akiwa kwenye Coke Studio za Africa
kupitia account yake ya Instragram na haya ndiyo aliyo yaandika.
Saturday, September 28, 2013
Wednesday, September 25, 2013
chukua hii:Video ya FA & AY "BILA KUKUNJA GOTI" kupigwakatika vituo hivi vya tv za nje
siku nyingine hatua nyingine.......video BILA KUKUNJA GOTI imefanikiwa kufikia viwango [imepita]TRACE,MTV BASE ,CHANNEL O na sound city ....sasa itaonekana kwote
Tuesday, September 17, 2013
Friday, September 13, 2013
MWANAMKE ADAKWA AIRPORT AKIWA NA MIMBA BANDIA ILIYOKUWA NA SEMBE
Kila kukicha vita dhidi ya biashara
haramu ya dawa za kulevya inazidi kupamba moto, wakati mataifa
mbalimbali yakizidi kuimarisha udhibiti wa biashara hiyo, na
wafanyabiashara hiyo wanazidi kuja na mbinu mpya za kusafirisha dawa
hizo.
Saturday, September 7, 2013
Subscribe to:
Comments (Atom)

-
Huyu ni msanii wa vichekesho akijulikana kama Kinyambe ambae ameonekana akijizolea umaarufu kutokana na staili yake anayoitumia kuigizia ...